Mchaka Zaidi

Sunday, April 19, 2015

Mtazame Hussein Machozi Kwa Mara ya Kwanza Akiongelea Tetesi za Yeye Kuwa Amefariki Dunia kwa Ajali ya Gari-BONGO FUSE

 
Juzi Kila Kona kwenye mitandao kulizuka habari kuwa Hussein Machozi Amefariki Dunia kitu ambacho kumbe hakikua Kweli ..
 
Msikilize Hussein Machozi Kwa Mara ya Kwanza akiongelea Tukio hilo na Pia habari ya yeye kukimbia Kenya Baada ya Kufumaniwa na Mke wa Mwanasiasa wa Kenya Hotelini Wakibanjuka.......

Bongo Fuse TV Inakuletea Uhondo Huo Hapa Chini:

Mpekuzi blog

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.