Mchaka Zaidi

Wednesday, March 25, 2015

UKUTA WA NYUMBA YA DIAMOND WAANGUKA YAHUSISHWA NA IMANI ZA KISHIRIKINA.


Siku chache zilizopita Diamond aliamua kuweka picha za nyumba yake mpya aliyohamia na wengi walimpongeza kwa kujenga nyumba ya kifahari kama hiyo. Mpya zilizotufikia leo ni kuhusu kuanguka kwa ukuta wa mbele wa nyumba yake.

Baada ya watu wengi kuiona picha hiyo mtandaoni wengi waliihusisha na ushirikina wakiamini kua maadui wa Diamond watakua wamefanya fitna hadi ukuta huo kuanguka. Huku wengine wakisema kua hakuna ushirikina bali ni kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwa sasa jijini Dar.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.