Mchaka Zaidi

Monday, June 22, 2015

Ni kweli Rose Muhando kachukua pesa na hajaenda kwenye show?! #U Heaard!!

rose-muhanda
Leo kwenye @UHeard na Soudy Brown ilikua inamuhusu msanii mkubwa wa injiliTanzania, Rose Muhando. Baada ya mipango ya show na promota kwenda chaka, promoto akaamua kumuendea Soudy Brown hewani na kumuelezea kisa chote.

Utaupenda huu usafiri wa Waziri wa Ugiriki.. sio Prado wala BMW yani !! (Pichaz)

image (1)

Hali ilivyo baada ya Bunge kuvamiwa Afghanistan leo June 22 2015 (Picha)

Bunge Paki ii
Hali sio nzuri Afghanistan, kingine kilichochukua headlines kwenye TV za Kimataifa na Mitandaoni ni ishu ya kuvamiwa kwa Bunge la nchi hiyo, mabomu na risasi vimetumika pia !!

Album ya Amini na mkewe ipo? Hussein Machozi kaacha muziki?? Diamond kazuia collabo za nje? Ziko zote hapa (Audio)

Studio

South Africa kwenye headlines na vurugu alizofanyiwa Rais Jacob Zuma bungeni!!

jacob-zuma-1


Tarehe 19 June mwaka huu Bunge la South Africa liliingia kwenye headlines katika vyombo vya habari pamoja na mitandao ya kijamii baada ya baadhi ya viongozi kutoka chama cha upinzani kuanzisha vurugu zilizo pelekea kuahirishwa kwa Bunge hilo siku ya ijumaa.

Wema Sepetu kuhusu mtoto na Diamond, ujauzito wa Zari na mimba aliyotoa. ( video )

WEMA s

Magazeti ya leo Tarehe 22/6/2015

.

Lowassa Azidi Kupata Mapokezi Makubwa Kila Anakoenda.......Songea Alazimika Kukaa Juu ya Paa la Nyumba, Asema Jina Lake Haliwezi Kukatwa


WAZIRI Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa amesema hana shaka na swala la kukatwa jina lake katika vikao vya Chama cha Mapinduzi(CCM), kwani anaamini Chama chao kitatenda haki kwa kurudisha jina lake kuwa mgombea urais wa Tanzania.

Risasi Zarindima Vituo Vya BVR Arusha, Godbless Lema Atiwa Mbaroni


MILIO ya risasi ilisikika katika vituo vya uandikishaji kura katika kata ya Sokoni One jijini hapa, baada ya kuibuka kwa vurugu zilizohusisha vijana wa Chadema na wenzao wa CCM, chanzo kikitajwa madai ya kuwepo kwa watu ambao sio wakazi wa eneo hilo kutaka kujiandikisha.
 

Saturday, June 20, 2015

HII SIKUBALI UPITWE;Kuna TV ya Venezuela ambayo watangazaji wa kike wanasoma habari wakiwa watupu


Nape Amshambulia Freeman Mbowe........Amtaka AJIUZULU Maana Amekiabisha Chama Kwa Hukumu Aliyopewa.


KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe kujiuzulu uenyekiti kwa kile alichosema amekiaibisha chama kwa hukumu aliyopewa hivi karibuni.
 

Godbless Lema Apata mpinzani Arusha ......Aja na Kauli mbiu "Chagua maendeleo usichague Soda"


HARAKATI za kuwania ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini zimeanza baada ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mustafa Abdulla Panju, kutangaza rasmi nia ya kugombea nafasi hiyo akiwa na kauli mbiu ya chagua maendeleo, usichague soda.
  

Thursday, June 18, 2015

MAAJABU YA KARANGA MBICHI NA KUKAANGA NAMNA INAVYOKINGA MAGONJWA YA MOYO NA KUPOOZA MWILI.

 
Na Mchambuzi, Maalim Saad.
MAAJABU YA KARANGA
Wengi wetu huchukulia ulaji wa karanga kama chakula cha kujiburudisha na kisichokuwa na umuhimu sana katika afya ya mwili wa binadamu. Kiukweli karanga siyo chakula cha kupuuziwa
iwapo utajua faida zake kama nitakavyokujuza leo katika makala haya.


Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe AHUKUMIWA Jela Mwaka Mmoja.


MAHAKAMA ya wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, imemtia hatiani na kumhukumu Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh milioni moja, kutokana na kesi iliyokuwa ikimkabili ya kumshambulia mwangalizi wa ndani wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.
 

Jaji Mkuu Mstaafu Ajitosa Urais CCM......Asema Yeye ni Brigedia Jenerali, Hakuna wa Kumuogopesha


JAJI Mkuu mstaafu wa Tanzania, Agustino Ramadhani (70) ambaye kwa sasa ni Rais wa Mahakama ya Afrika, amepandisha joto la urais ndani ya CCM, baada ya jana kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kupeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Baada ya Kuyaanika Makalio yake, Faiza Ally Aporomosha Matusi Mazito Kwa Wanaomponda


Faiza Ally amewajia juu Watu wanao mpiga majungu kuhusu kivazi chake alichovaa katika KTMA 2015 .
 

Mtuhumiwa wa Ukatili Aachiwa Huru Mahakamani


MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imemwachia huru mtuhumiwa wa kesi ya ukatili dhidi ya mtoto, Georgina Makasi.
 

Tanzania yafunga rasmi matangazo ya analojia


Tanzania jana  imeungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha uzimaji rasmi wa mitambo ya analojia kwa Televisheni huku ikiwa ni miongoni mwa nchi za kwanza za kusini mwa jangwa la Sahara kuingia kwenye mfumo wa digitali.
 

Godbless Lema Nusura apigane na Polisi kituo cha Uandikishaji


MBUNGE wa   Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema) jana nusura apigane  na askari aliyekuwa akilinda   kituo cha kujiandikisha katika  daftari la wapiga kura cha Shule ya Msingi Mkombozi Kata ya Sokoni I.

Rais Kikwete aanza ziara ya kiserikali nchini India


Rais Jakaya Kikwete jana ameelekea nchini India ambako atafanya ziara rasmi ya Kiserikali ya siku nne katika Jamhuri ya India kwa mwaliko wa Rais wa India, Mheshimiwa Pranab Mukherjee.

Wednesday, June 17, 2015

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 17 Juni 2015

Confirmed: Wema Sepetu Kugombea Ubunge Mwaka Huu.


Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Abraham Sepetu jana June 16 kupitia kipindi cha Ala za Roho ya Clouds FM alifunguka kuhusiana na kuchukua fomu ya ubunge wa viti maalumu mkoani Singida pamoja na ishu ya kutoka na boyfriend wa msanii Linah.
 

Urais 2015: Mafuriko Ya LOWASSA Yatua Singida Kwa Kishindo.......Apata Wadhamni 22, 758


Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wea Monduli, Mh. Edward Lowassa, akitoa hotuba ya shukrani kwenye makao makuu ya CCM mkoa wa Singida baada ya kupata wadhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
 

Sunday, June 14, 2015

Orodha kamili ya washindi wa Kilimanjaro Music Awards 2015........Ali Kiba Kashinda Tuzo 5, Diamond 2


Hii ni orodha kamili ya washindi wa tuzo za muziki Tanzania Kilimanjaro Music Awards 2015 zilizofanyika 13 June 2015 Mlinani City jijini Dar es salaam.

Mafuriko Ya Lowassa Yatua Kigoma......Azoa Wadhamini 11,250

Umati wa WanaCCM pamoja na wananchi wa Mji wa Kigoma, ukiwa umefurika kwenye Uwanja wa Ofisi Kuu ya CCM Mkoa wa Kigoma, kuja kumuona Mh. Edward Lowassa (anaeonekana kule mbele) wakati alipofika kuomba udhamini wa wanachama wa CCM, ili aweze kupata ridhaa ya Chama kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
 

Saturday, June 6, 2015

HII NI HABARI YA MAMA ANAYESOMA SHULE YA MSINGI MERU ARUSHA NA WATOTO WAKE WANAOSOMA DARASA LA TANO NA CHEKECHEA.

 
Aisha (katikati nyuma) akiwa na wanae watatu shuleni

Urais 2015: Mwigulu achukua fomu,Asema Kikwete ni Rais wa Mwisho Kutawala Tanzania Masikini

Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba pamoja na Mke wake katika ukumbi wa makao makuu ya CCM Dodoma.
 

CCM Yawabana Wagombea Urais.....Yawazuia Kushiriki Midahalo, Kubandika Picha Magari Yao wala Kufanya Kampeni


WAKATI Watanzania na hasa viongozi wa sekta binafsi, wakijiandaa kupima uwezo na uelewa wa watangaza nia wa CCM, katika masuala muhimu ya kiuchumi kwenye mdahalo ulioandaliwa kesho kutwa, chama hicho kimepiga marufuku watangaza nia hao kushiriki midahalo hiyo.
 

Padre na Wanafunzi sita Wateteketea Kwa Moto


WANAFUNZI sita wa Sekondari ya CTC Kigonsera inayomilikiwa na Misheni ya Mbinga mkoani Ruvuma na Mkuu wa Shule hiyo, Padre Yazint Kawonga, wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutumbukia bondeni kisha kuwaka moto na kuiteketeza miili yao.

Watu saba wakamatwa na Bunduki na Risasi 59 jijini Da res salaam


JESHI la Polisi limefanikiwa kukamata Silaha, watuhumiwa wa uhalifu wa kutukia silaha katika oparesheni iliyoendeshwa kwa nyakati tofauti katika Jiji la Dar es Salaam.
 

Thursday, June 4, 2015

Mwakyembe Akana kutumia Richmond Kumchafua Lowassa...... Umoja wa Ulaya nao wakana kuhusika Kumchafua.


WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe, ameibuka na kusema hajawahi kumshambulia kwenye mitandao Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhusu sakata la Richmond.
 

'Mimba' Ya Lulu Michael Yapotea


Miezi miwili iliyopita kuliibuka madai mazito kwamba staa bei mbaya wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameongezeka tumbo hivyo mashabiki wake wakapiga vigelegele kwamba huenda ana mimba lakini sasa tumbo hilo limeyeyuka.

Pinda aongoza wabunge kumuaga mbunge wa Ukonga Aliyefariki Dunia Juzi

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mbunge wa Ukonga Eugen Mwaiposa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 3, 2015.
 

Wednesday, June 3, 2015