Mchaka Zaidi

Tuesday, May 26, 2015

K-Lynn azungumzia maisha yake kama mama, kwanini hawezi kurudi kwenye muziki na kazi ya interior design


Ni nadra sana kukutana na Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi maarufu kama K-Lynn lakini kupitia tuzo za watu tulifanikiwa kupiga story mbili tatu.

Filamu ya Van Vicker na Wema Sepetu ‘Day After Death’ kuzinduliwa September, Dar


Filamu ya Wema Sepetu na muigizaji wa Ghana, Van Vicker ‘Day After Death’ inatarajiwa kuzinduliwa September mwaka huu jijini Dar es Salaam.

Maazimio Ya Kamati Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo Katika Vikao vyake vya Mei 23-24


KAMATI Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo, ilikuwa na kikao chake cha kawaida cha siku mbili kilichokaa tarehe, 23 na 24 mwezi huu na kuongozwa na Mwenyekiti wa Taifa, Anna Mghwira, pia kilihudhuriwa na kiongozi wa Chama Zitto Zuberi Kabwe.
 

Maelezo Ya KINA Ya Edward Lowassa Kuhusiana Na Sakata La Richmond, Afya Yake, Utajiri Wake Na Kwa Nini Alikuwa Kimya Kwa Miaka Yote 7


Hatimaye  Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana alivunja ukimya wa muda mrefu alipofanya mahojiano ya ana kwa ana na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.

NCHI YA INDIA YAKUMBWA NA WIMBI LA JOTO KALI, LAUA WATU 430, BINADAMU NA WANYAMA WAKIMBILIA KATIKA MAJI.


Takriban watu 430 wamekufa kutokana na wimbi la joto linalovuma nchini India.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 26 May 2015

Sunday, May 24, 2015

Jeshi la Wananchi lazua kizaa zaa songea


Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wilayani Songea jana limezua kizaa zaa kwa wananchi kufuatia kuvamia mitaani, maofisini (serikali na binafsi) makanisani na misikitini wakiwa na silaha huku magari yao yakiranda kila kona na kuanza upekuzi  kwa watu wote walokutana nao huku wakidai kuonyeshwa vitambulisho.

Wanandoa Wauawa Kwa Kuchinjwa Kama Kuku


Watu wawili, mke na mume wakazi wa  Makambo, wilayani Mlele, wameuawa kikatili kwa kuchinjwa na kutenganishwa kichwa na kiwiliwili wakati wakiwa wamelala.

Majina wanafunzi wa kidato sita waliochaguliwa kujiunga na JKT,kwa mujibu wa sheria 2015

BOFYA HAPA KWA KUPATA MAJINA

KIONGOZI WA CHAMA CHA UPINZANI AUAWA KWA KUPIGWA RISASI MJI MKUU WA BUJUMBURA NCHINI BURUNDI.


wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.

Saturday, May 23, 2015

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Tarehe 23 May 2015

Mtwara yasimama saa 24 .....Huduma zafungwa kukumbuka waliouawa wakati wa vurugu za gesi


HUDUMA  za kijamii mkoani Mtwara jana zilisimama kutokana na baadhi ya wananchi kudai kuwa wanaomboleza vifo vya watu vilivyotokea wakati wa vurugu za gesi hivyo kupelekea huduma za kijamii kusimama.
 

Hospitali ya AMI Yafungwa Rasmi


HATIMAYE Hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Center ya Masaki Dar es Salaam, imefungwa rasmi na mmiliki wa jengo kukabidhiwa funguo zake.
 

Fidia Kwa Waathirika wa Mafuriko Dar: John Mnyika Amvaa Waziri Mkuu Mizengo Pinda

MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemshukia Waziri mkuu Mizengo Pinda na kumtaka kuhakikisha kwamba kiasi cha fedha cha Bilioni tatu zitakazotolewa na mfuko wa maafa zinatolewa kwa wakati ili kutatua changamoto za waathirika.

Lowassa Na Wenzake Sasa Wako Huru....Adhabu Yao Imekwisha LEO......Taarifa Kamili Iko Hapa


Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari wa Sekretarieti kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi mjini Dodoma leo tarehe 22 Mei 2015.

Urais 2015: Mwanamke wa kwanza CCM ajitokeza kutangaza nia

Mwanamke wa Kwanza ndani ya chama cha Mapinduzi (CCM) Amina Salum Ali atangaza kugombea urais.

Al shabaab wavamia tena Kenya, watoa onyo kali kwa wananchi


Mamlaka nchini Kenya imesema kuwa walinda usalama wamekabiliana na washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al- Shaabab, katika wilaya ya Ijara katika kaunti ya Garissa Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.
 

Thursday, May 21, 2015

AL SHABAAB WAMESHINDIKANA, WAVAMIA MSIKITI NA KUUSHIKILIA KENYA

Viongozi Kaskazini mwa Kenya wamesema kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi kutoka Somalia la Al Shaabab waliuvamia msikiti mmoja katika kaunti ya Garissa kwa masaa kadhaa.

MWANAMKE WA KITANZANIA AMUUZA MTOTO WAKE WA KIUME WA MIEZI NANE TU KWA MTU MWINGINE KWA BEI YA SH70,000.

http://internationalpoliticalforum.com/wp-content/uploads/2014/03/Modern_day_slavery.jpgPICHA YA MAKTABA.

Monduli. Mkazi mmoja wa Kijiji cha Nanja, Kata ya Lepruko, wilayani Monduli, anadaiwa kumuuza mtoto wake wa kumzaa kwa mtu mwingine kwa Sh70,000 kwa madai kuwa ana maisha magumu.

MBIO ZA URAIS: UJUMBE KUTOKA KWENYE KATUNI MEI 21/ 2015.



Rais Pierre Nkurunziza Asogeza Mbele Uchaguzi wa Wabunge Kwa Siku 10



Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amesogeza mbele uchaguzi wa wabunge kwa siku 10 hadi Juni 5 mwaka huu kufuatia jaribio la mapinduzi.

Wednesday, May 20, 2015

Kipindupindu Chalipuka kwa wakimbizi wa Burundi Walioko Katika Kambi ya Kigoma.



WAKATI hali ya usalama nchini Burundi ikiwa bado tete, wakimbizi 558 walioko katika kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma wanaugua ugonjwa wa Kipindupindu.

Tanzanian Irene Kiwia Wins Woman of The Year Africa Award.



Africa Reconnect (http://www.africareconnect.com), a platform for women who have made remarkable contributions to the growth and development of the various nations in Africa has today awarded 11 Africans whose contributions to women empowerment in their countries is outstanding.

Wanafunzi wa chuo kikuu cha UDSM wagoma kuingia darasani kwa madai ya kutopewa fedha za kujikimu.


Maelfu ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya Mlimani wameanza mgomo kuingia darasani kwa madai ya kutopewa fedha za kujikimu kwa zaidi ya wiki 11 huku wakitaja gharama za maisha zikiwa zimepanda mara dufu.
 

Monday, May 11, 2015

Makada 6 Waliofungiwa CCM Waendelea Kubanwa....Bofya Hapa Kuona Alichokisema Nape Kuhusiana na Akina Lowassa, Membe na Wengine


CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya vikao vya chama hicho kuanza mwezi huu ikionyesha mchakato wa kuchukua fomu za kuwania kugombea urais utafanyika wakati makada wake sita waliofungiwa wakiendelea kuwa kifungoni.

Wanafunzi 'WAPIGWA' Mkutano Ukawa Arusha


KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wanafunzi wa shule za msingi za Mwangaza na Ngarenaro, juzi walidaiwa kupata kipigo kutoka kwa vijana waliojiita ‘Makamanda’ wa umoja wa vyama vya siasa vya upinzani ujulikanao kama Ukawa, baada ya baadhi yao kufika katika mkutano huo uliofanyika viwanja vya karibu na shule yao.
 

Siwema Wa Nay Wa Mitego Atiwa Mbaroni.....Kisa Ni Kumpiga Picha Za Uchi Kigogo Wa Serikali


Mzazi mwenzake staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson (27) ametiwa mbaroni na kusota rumande kwa siku kadhaa akidaiwa kujipatia mali kwa njia ya vitisho kutoka kwa kigogo mmoja serikalini (jina linahifadhiwa kwa sasa). 

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Tarehe 11 May 2015


Diwani CUF Mbaroni kwa Tuhuma za Kuomba na Kupokea Rushwa ya Sh 150,000


DIWANI wa Kata ya Ngula wilayani Kwimba, Palu Mashagu (CUF), anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Sh 150,000.

Maandamano Burundi yachukua sura mpya


Serikali ya Burundi imewataka  waandamanaji katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura kusitisha maandamano yao dhidi ya hatua ya rais wa taifa hilo Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu katika uchaguzi wa mwezi ujao.
 

Kenya wamtaka Rais Kikwete kuingilia kati mgogoro Burundi


Wananchi  nchini Kenya wamemtaka mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambaye ni Rais wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete kuingilia kati mgogoro wa Burundi uliopelekea wanachi zaidi  ya kumi kufariki dunia na wengine kukimbilia nchini Tanzania.
 

Sunday, May 10, 2015

Urais CCM waiweka pabaya Kamati Kuu.....Yadaiwa Inafanya Upendeleo Kwa Baadhi ya Wagombea


Mbio za urais ndani ya CCM sasa zimefikia pabaya baada ya kuibuka hofu ya kuwapo kwa mpango wa kuivuruga Kamati Kuu kabla ya haijakutana kuchuja majina ya makada watakaotakiwa kupigiwa kura na Halmashuri Kuu ili kumpata mgombea atakayepeperusha bendera ya chama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu. 

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Tarehe 10 May 2015


Hatima ya Lowassa, Membe sasa Mei 20


Filimbi ya kuanzisha mbio za urais kwa tiketi ya CCM itapulizwa Mei 23 baada ya kumalizika kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya chama hicho tawala, huku makada sita walio ‘kifungoni’ wakitarajia kujua hatima yao kwenye mbio hizo Mei 20. 
 

Thursday, May 7, 2015

Lulu Michael Akana Kuwa Na JINI MAUTI


MSANII nyota wa filamu, Elizabeth Michael `Lulu’ amekanusha uvumi kuwa matatizo yanayowatokea wanaume aliowahi kuwa nao yanatokana na yeye kuwa na Jini Mauti anayesababisha hali hiyo kutokea, Amani linakujuza.

PICHA: Mvua Yaliharibu Jiji La Dar es Salaam...Polisi Watoa Tahadhari



Mrema Avuliwa Uanachama TLP


KAMATI ya Ukweli na Maridhiano ya Chama cha Tanzania Labour (TLP), imetangaza kumvua uanachama Mwenyekiti wa chama hicho, Agustino Mrema.
 

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi Ya Tarehe 7 May 2015



RAIS WA BURUNDI PIERRE NKURUNZIZA HATAGOMBEA TENA URAIS.

http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2705586/highRes/1005433/-/maxw/600/-/d89d2d/-/pierre.jpgRais wa Burundi Pierre Nkurunziza amewaambia mawaziri wa Afrika Mashariki kwamba endapo atachaguliwa kuiongoza nchi hiyo mwezi June mwaka huu kwa muhula wa tatu basi itakuwa ni kipindi cha ukomo wa yeye kuendelea kusalia madarakani ,msemaji wa serikali ya Burundi Gervais Abayehorwa amesema hayo mapema Jumatano.

Profesa Lipumba Aieleza Mahakama ya Kisutu kuwa Polisi WALIMPIGA, Akana Kufanya Maandamano

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa, hawakufanya maandamano wala kupata barua ya zuio badala yake alipigwa na polisi.

Zitto Kabwe Afunguka Kuwa Alipofukuzwa CHADEMA Alitamani Kujiunga NCCR-Mageuzi......Kazungumzia Pia Anakotoa Pesa za Kufanya Mikutano

 
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amefunguka na kusema kuwa alipofukuzwa Uanachama katika chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) alitamani kujiunga na Chama Cha NCCR-Mageuzi kwani ndicho chama ambacho kilikuwa  kinaendana na itikadi yake anayoifuata na kuiamini ambayo ni itikadi ya Ujamaa.