Hii ni wakati Edward Lowassa alipochukua fomu ya kugombea Urais kupitia CHADEMA ambapo wafuasi wa chama hicho walimsindikiza kwa msafara kutokea makao makuu ya CHADEMA Kinondoni mpaka ofisini kwake Mikocheni Dar es salaam, zaidi jionee mwenyewe ilivyokua kwenye hii video hapa chini.
Chanzo: Millardayo.com
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.