Mchaka Zaidi

Sunday, November 20, 2016

Magazeti ya Tanzania November 20, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo



November 18 2016 naanza kukusogezea post zote kubwa kwenye zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye,UdakuHardnews na Michezo ili uje kinachoendelea Mtu wangu usiache kukaa karibu yangu kwenye Facebook, Twitterna,Instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachoonifikia

Tuesday, November 15, 2016

Magazeti ya Tanzania November 15, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo


November 15 2016 naanza kukusogezea post zote kubwa kwenye zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye,UdakuHardnews na Michezo ili uje kinachoendelea Mtu wangu usiache kukaa karibu yangu kwenye Facebook, Twitterna,Instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachoonifikia

Friday, November 4, 2016

Magazeti ya Tanzania November 4, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo


November 4 2016 naanza kukusogezea post zote kubwa kwenye zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye,UdakuHardnews na Michezo ili uje kinachoendelea Mtu wangu usiache kukaa karibu yangu kwenye Facebook, TwitternaInstagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachoonifikia

Sunday, October 30, 2016

Picha 20: Tukio zima la Miss Tanzania 2016, lilofanyika Mwanza kwa Mara ya Kwanza

Jana kwa mara nyingine tena Tanzania imeingia kwenye Headline ya kumpata Miss Tanzania 2016 baada ya miaka miwili kupita bila kufanyika shindano la Miss Tanzania, Shindano la Miss Tanzania limefanyika Mwanza kwa mara ya kwanza na mrembo kutokea Kinondoni Dar es salaam Diana  Edward Lukumai amekuwa mshindi kwa kati ya warembo 30millardayo.com inakupata picha za tukio zima na Ayo Tv itakusogezea tukio zima.

Magazeti ya Tanzania October 30, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo


October 30 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.

Monday, October 24, 2016

Mourinho kakubali kipigo cha 3 EPL dhidi ya Chelsea Stamford Bridge


Jumapili ya October 23 2016 ndio siku ambayo kocha wa Man United Jose Mourinho alirudi tena Stamford Bridge kwa mara nyingine kucheza dhidi ya timu yake ya zamani ya Chelsea

Watoto wakimbizi wa Syria wafanyishwa kazi Uturuki

Baadhi ya watoto wakifanya kazi kiwandani
Uchunguzi wa siri uliofanywa na BBC umebainisha kuwa watoto wakimbizi wa Syria wamekuwa wakiajiriwa kinyume cha Sheria katika viwanda vya nguo nchini Uturuki.

Magazeti ya Tanzania October 24, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo


October 24 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.

Saturday, August 6, 2016

Ambwene Yessaya kuachia single mbili mpya kwa siku moja?



Magazeti ya Tanzania August 6, 2016 kuanzia Udaku, Hardnews na michezo


August 6 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, UdakuMichezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.

Tuesday, August 2, 2016

Bauza kocha mpya wa Argentina


Image copyrightREUTERS

US fighter jets target ISIL in Libya for first time



Washington says air raids aimed at backing Libyan forces seeking to retake city of Sirte from the group.

Venezuelan campaign passes first hurdle

Venezuelan President Nicolas Maduro (28 July 2016)
Venezuela's national election council has announced its approval of the first step in an opposition campaign to recall President Nicola Maduro.

Serikali ya Tanzania kukata rufaa ndoa za utotoni


Serikali ya Tanzania imewasilisha ombi la kukata rufaa, uamuzi wa kihistoria nchini uliopinga ndoa za watoto walio chini ya umri wa miaka 18.Mwezi uliopita mahakama kuu iliamua kuwa sehemu za sheria ya ndoa mwaka 1971, iliyoruhusu wasichana kuolewa wakiwa na umri wa hata miaka 14 ni kinyume na katiba.

Magazeti ya Tanzania August 2, 2016 kuanzia Udaku, Hardnews na michezo



August 2 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, UdakuMichezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.

Sunday, April 17, 2016

VIDEO: Barabara za juu kuanza kutumika Dar, Rais Magufuli Kauzindua mradi wake jana



April 16 2016 Rais John Pombe Magufuli amefanya uzinduzi wa mradi wa barabara ya juu ‘Flyover’ Dar es salaam, barabara inayotarajiwa kuanza kufanya kazi mwaka 2018.

Picha13: Harmonize alivyotoa Burudani ya nguvu kwa watu wa Mwanza kwa mara ya kwanza


Usiku wa April 16, 2016, watu wangu wa Mwanza kwa mara ya kwanza kwenye stageHarmonize alikutana na watu wake kwenye shangwe

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 17 2016 kwenye, Hardnews na michezo


April 17 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu..

Wednesday, April 13, 2016

Majibu ya Diamond… kwanini aliibeba familia na kwenda nayo Ulaya, bongofleva ilipofikia


Diamond Platnumz alionekana kwenye safari zilizofikia tisa kwa kutembelea nchi mbalimbali za Ulaya na kufanya show ambapo kwenye hii Exclusive anaeleza kwanini alisafiri na

Zifahamu rekodi tatu za Ronaldo baada ya hat-trick yake ya April 12 2016



Jina la staa wa soka wa kimaifa wa Ureno Cristiano Ronaldo lilirudi kwenye headlines baada ya usiku wa April 12 2016 kuisaidia

Wednesday, March 30, 2016

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March30 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo

March 30 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu..

Tanzania shughuli tunayo June 4 na September 3

Siku zinazidi kusogea na matumaini ya Tanzania yanazidi kupungua kuhusu safari ya Gabon mwaka 2017 katika michuano ya mataifa ya Afrika. Baada ya timu ya taifa ya Chad kujiondoa katika michuano ya Mataifa ya Afrika na kuacha mtihani Kundi G lenye timu za TanzaniaMisri na Nigeria.

Monday, March 28, 2016

MC PiliPili alivyokutana na watu wake kwenye Stand Up Comedy Mwanza…(+Pichaz)


Kwenye tafiti zilizowahi kufanyika wataalamu wanasema Binadamu akiwa na furaha anaongeza siku za kuishi, Watu wangu wa Mwanza usiku wa jana walitembelewa na mchekeshaji maarufu MC PiliPili unaambiwa watu walishika mbavu kila alipoongea na ule utani wake, Kwenye upande wa Burudani alikuwepo msanii wa Bongo Fleva Barnaba, ripota wa millardayo.om kazipata picha za tukio zima ruhusa kuzitazama.

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 28 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo


March 28 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.

Friday, March 25, 2016

Hizi ni Pichaz 12 za mapokezi ya Taifa Stars Airport Dar wakitokea Chad Alfajiri ya March 25


Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars alfajiri ya March 25 iliwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage ukitokea Chad kwa kupitia EthiopiaTaifa Starswaliwasili Dar Es Salaam na kupokelewa na mapokezi mazuri kutoka kwa kikundi cha ushangiliaji cha Taifa Stars Suporter pamoja na watu mbalimbali.

Thursday, March 24, 2016

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 24 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo

March 24 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.

Monday, March 14, 2016

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 14 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo


March 14 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram@millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.

MOVIE: Matron wa shule kamzimia Mwanafunzi jeuri shuleni… (sehemu ya mwanzo)



Ni movie ya Mtanzania Salma Jabu maarufu ‘Nisha’ ambaye humo ndani yuko na mastaa kadhaa wa movie bongo akiwemo Mzee Majuto, na hii ni sehemu tu ya movie yenyewe inaitwa ‘Kiboko Kabisa’

Samatta kaiongoza KRC Genk katika ushindi wa goli 4-1, video ya goli lake hii



Kwa mara ya kwanza klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji ambayo inaongozwa na kocha lakini inachezewa na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Ally Samatta, imempa nafasi ya kuanza katika mchezo wa leo dhidi ya klabu ya KV Oastende.

Sunday, January 24, 2016

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo January 24 2016 kwenye Hardnews, michezo mengine

January 24 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu..