Mchaka Zaidi

Friday, February 19, 2016

Maamuzi ya Rais Magufuli baada ya kukutana na wasanii Ikulu….


Feb 18 2016 Rais John Pombe Magufuli alikutana na baadhi ya wasanii pamoja na makundi aliyoshirikiana nayo katika kampeni zake za kuwania Urais mwaka 2015.
Kikubwa ni haya maamuzi makubwa mawili aliyoamua kuyatoa, mbele ya wasanii hao…

Chanzo: Millardayo.com

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.