Kwenye tafiti zilizowahi kufanyika wataalamu wanasema Binadamu akiwa na furaha anaongeza siku za kuishi, Watu wangu wa Mwanza usiku wa jana walitembelewa na mchekeshaji maarufu MC PiliPili unaambiwa watu walishika mbavu kila alipoongea na ule utani wake, Kwenye upande wa Burudani alikuwepo msanii wa Bongo Fleva Barnaba, ripota wa millardayo.om kazipata picha za tukio zima ruhusa kuzitazama.
Watu wangu kwenye furaha ya aina yake
MC PilPili na pozi la kazini kabisa
Mbunge wa Nyamagana, Stanslaus Mabula nae alikuwepo
Lazima ucheke tu hakuna namna
Mtangazaji wa 360 ya CloudsTV Hudson Kamoga, kwenye pozi la umakini
Muda wa zawadi kutoka kwa Mbunge
Msanii Barnaba akionyesha ufundi wake
Mchekeshaji MC PiliPili
Mchekehaji Dogo Pepe
Mrembo kwenye furaha yake
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.