Mchaka Zaidi

Tuesday, August 11, 2015

Siasa Video ya msafara wa Lowassa barabarani mpaka ofisi za Tume ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya Urais

DSC_0727
Timu ya millardayo.com ilikusogezea updates zote kila kilichokuwa kinaendelea August 10 2015 katikati ya Dar es Salaam, ilikuwa ni msafara kuanzia Buguruni, kupitia Ilala Kariakoo mpaka Posta kwenye Ofisi za Tume ya Uchaguzi NEC ambapo Wagombea Urais wa Umoja wa UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa, Juma Duni Haji (Mgombea Mwenza) na Maalim Seif Shariff Hamad (Zanzibar) walienda kwa pamoja kuchukua Fomu.
Tayari nimeiweka karibu na wewe hii video uone njia nzima msafara ulivyokuwa mtu wangu.

Chanzo:millardayo.com

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.