Mchaka Zaidi

Monday, June 22, 2015

Ni kweli Rose Muhando kachukua pesa na hajaenda kwenye show?! #U Heaard!!

rose-muhanda
Leo kwenye @UHeard na Soudy Brown ilikua inamuhusu msanii mkubwa wa injiliTanzania, Rose Muhando. Baada ya mipango ya show na promota kwenda chaka, promoto akaamua kumuendea Soudy Brown hewani na kumuelezea kisa chote.

Utaupenda huu usafiri wa Waziri wa Ugiriki.. sio Prado wala BMW yani !! (Pichaz)

image (1)

Hali ilivyo baada ya Bunge kuvamiwa Afghanistan leo June 22 2015 (Picha)

Bunge Paki ii
Hali sio nzuri Afghanistan, kingine kilichochukua headlines kwenye TV za Kimataifa na Mitandaoni ni ishu ya kuvamiwa kwa Bunge la nchi hiyo, mabomu na risasi vimetumika pia !!