Mchaka Zaidi

Tuesday, April 14, 2015

Huyu Ndo Mtanzania Anayetuhumiwa Kwa Ugaidi Kenya.....Jana Alifikishwa Mahakamani Chini Ya Ulinzi Mkali

 
Mtanzania anayedaiwa kuhusika katika shambulizi la kigaidi lililoua watu 148 katika Chuo Kikuu cha Garissa – Kenya, Rashid Charles Mberesero, jana alifikishwa mahakamani na kuwekwa kizuizini kwa mwezi mmoja wakati polisi wakiendelea kukusanya ushahidi dhidi yake.
 

AJIRA MPYA KWA WALIMU

 
Serikali imesema ajira za walimu wapya zitaanza rasmi Mei Mosi, mwaka huu huku ikiweka wazi kuwa walimu hao wasitegemee kupangiwa katika maeneo ya majiji, manispaa na miji.
 

JWTZ iliandaa mabasi 300 kuukabili mgomo wa madereva


Kutokana na mgomo wa madereva wa mabasi ya abiria nchi nzima uliofanyika Ijumaa iliyopita, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lilikuwa limeshaandaa mabasi 300 ambayo yangetumika kusafirisha abiria, imebainika.
 

Nape awajibu wanaoishinikiza CCM... kuhusu ratiba ya uchaguzi




 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amesema chama hicho hakitaendeshwa kwa mashinikizo ya watu wanaotaka kitangaze haraka ratiba ya uteuzi wa wagombea wake kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao. 

Madereva Wa Mabasi Kugoma Tena April 18 Iwapo Sharti la Mikataba Halitatimizwa......Msimamo huo Walimweleza Zitto Kabwe






 


















Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Bw. Zitto Kabwe, ameitaka Serikali kuhakikisha madereva wote wa magari ya mizigo na mabasi ya abiria, wanapewa mikataba ya ajira kabla ya Aprili 17, mwaka huu.

Lowassa atajwa tena.....Kada mkongwe atoa ya moyoni juu ya kifungo chake.












































Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea kutafakari jinsi kitakavyompata mgombea wake atakayepeperusha bendera ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu,

Serikali Yapata Kigugumizi Shule za Sekondari Kufungwa Kutokana na Kukosa Chakula!!!



Kizungumkuti kimezidi kujitokeza katika suala la kufungwa kwa shule za sekondari za bweni za serikali kwa kile kinachoelezwa ni ukosefu wa chakula kutokana na wazabuni kugoma, baada ya serikali kutoa tamko ikieleza kuwa kuwa imelipa fedha za wazabuni hadi Machi, mwaka huu.