
BAADA
ya watani zao wa jadi Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu vita ya kuwania
kushiriki michuano ya kimataifa sasa mwakani imesalia kwa vigogo wengine
wa soka nchini Simba SC na Azam FC.

MAHAKAMA
ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru Mbunge wa Jimbo la Bahi mkoani
Dodoma, Omary Badweli, aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka mawili ya
kuomba na kupokea rushwa kwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Mkuranga.
