Mwigizaji Wema Sepetu amewataka watu wanomsakama kwa maneno
waache apumzike kufanya hivyo kwani yeye ni binadamu kama ilivyo kwa
wengine na anaumia kama wanavyoumia wengine.
Raia wa Tanzania wanaoishi Afrika Kusini
sasa wanadaiwa kushika silaha tayari kwa mapambo dhidi ya vikundi vya
raia wa Taifa hilo vinavyoshambulia wahamiaji wa Kiafrika.
MWENYEKITI wa Kampuni za IPP, Reginald Mengi, ametuhumiwa kutaka
kuiangusha Serikali ya Rais Jakaya Kikwete na kumshughulikia baada ya
kumaliza uongozi wake Oktoba, mwaka huu.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewataka wadau wa habari
na taasisi mbalimbali, zikiwemo za kimataifa kuangalia kwa makini na
kujadili baadhi ya vifungu vilivyopo katika muswada wa habari ili
kuishawishi serikali kutousaini kwa kuwa unalenga kubana uhuru wa vyombo
vya habari nchini.
Watanzania
wanaoishi Afrika Kusini, wako hatarini kutokana na vurugu zinazofanywa
na wenyeji wa nchi hiyo, dhidi ya wananchi wengine wa asili ya Afrika
wanaoishi nchini humo.