Mchaka Zaidi

Sunday, April 17, 2016

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 17 2016 kwenye, Hardnews na michezo


April 17 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu..

Wednesday, April 13, 2016

Majibu ya Diamond… kwanini aliibeba familia na kwenda nayo Ulaya, bongofleva ilipofikia


Diamond Platnumz alionekana kwenye safari zilizofikia tisa kwa kutembelea nchi mbalimbali za Ulaya na kufanya show ambapo kwenye hii Exclusive anaeleza kwanini alisafiri na

Zifahamu rekodi tatu za Ronaldo baada ya hat-trick yake ya April 12 2016



Jina la staa wa soka wa kimaifa wa Ureno Cristiano Ronaldo lilirudi kwenye headlines baada ya usiku wa April 12 2016 kuisaidia

Wednesday, March 30, 2016

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March30 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo

March 30 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu..

Tanzania shughuli tunayo June 4 na September 3

Siku zinazidi kusogea na matumaini ya Tanzania yanazidi kupungua kuhusu safari ya Gabon mwaka 2017 katika michuano ya mataifa ya Afrika. Baada ya timu ya taifa ya Chad kujiondoa katika michuano ya Mataifa ya Afrika na kuacha mtihani Kundi G lenye timu za TanzaniaMisri na Nigeria.

Monday, March 28, 2016

MC PiliPili alivyokutana na watu wake kwenye Stand Up Comedy Mwanza…(+Pichaz)


Kwenye tafiti zilizowahi kufanyika wataalamu wanasema Binadamu akiwa na furaha anaongeza siku za kuishi, Watu wangu wa Mwanza usiku wa jana walitembelewa na mchekeshaji maarufu MC PiliPili unaambiwa watu walishika mbavu kila alipoongea na ule utani wake, Kwenye upande wa Burudani alikuwepo msanii wa Bongo Fleva Barnaba, ripota wa millardayo.om kazipata picha za tukio zima ruhusa kuzitazama.

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 28 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo


March 28 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.