Mchaka Zaidi

Monday, June 22, 2015

Ni kweli Rose Muhando kachukua pesa na hajaenda kwenye show?! #U Heaard!!

rose-muhanda
Leo kwenye @UHeard na Soudy Brown ilikua inamuhusu msanii mkubwa wa injiliTanzania, Rose Muhando. Baada ya mipango ya show na promota kwenda chaka, promoto akaamua kumuendea Soudy Brown hewani na kumuelezea kisa chote.