Monday, June 22, 2015
South Africa kwenye headlines na vurugu alizofanyiwa Rais Jacob Zuma bungeni!!
Tarehe 19 June mwaka huu Bunge la South Africa liliingia kwenye headlines katika vyombo vya habari pamoja na mitandao ya kijamii baada ya baadhi ya viongozi kutoka chama cha upinzani kuanzisha vurugu zilizo pelekea kuahirishwa kwa Bunge hilo siku ya ijumaa.
Subscribe to:
Posts (Atom)