
KAMATI ya Ukweli na Maridhiano ya Chama cha Tanzania Labour (TLP),
imetangaza kumvua uanachama Mwenyekiti wa chama hicho, Agustino Mrema.

MWENYEKITI
wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameieleza
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa, hawakufanya
maandamano wala kupata barua ya zuio badala yake alipigwa na polisi.
