Mchaka Zaidi

Thursday, August 24, 2017

AJALI: Daladala imegonga Train asubuhi hii Morogoro


Habari iliyonifikia asubuhi hii ya August 24, 2017 kutoka Morogoro ni kuwa watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya daladala walilokuwa wanasafiria kugonga Train maeneo ya TANESCO.
Ayo TV na millardayo.com zinaendelea kufuatilia na zitakupa UPDATES kila zinapopatikana…
BREAKING: Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya daladala walilokuwa wanasafiria kugonga Train Mkoani Morogoro. .




Source:millardayo.com

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.