Mchaka Zaidi

Wednesday, December 30, 2015

Tekno wa Nigeria kathibitisha Kolabo za Watanzania hawa watatu….


Hit Maker wa singo ya Duro kutoka Nigeria Tekno leo ametaja Wasanii wa Kitanzaniaambao tayari ameshafanya nao kolabo ambao hajui lini nyimbo hizi zitatolewa rasmi.
Vanessa-Mdee
Vanessa Mdee.
Kwenye interview yake na kipindi cha XXL kutoka Clouds Fm Tekno amesema mpaka sasa amesharekodi na Rummy,Vanessa Mdee na Diamond Platnumz.
mond
Diamond
rummy
Rummy

Chanzo:millardayo.com

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.