Mchaka Zaidi

Wednesday, December 30, 2015

Pichaz 7 za Mbwana Samatta alivyokutana na waziri wa michezo Nape Nnauye wizarani Dec 30 …


December 30 ilikuwa ni siku ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kukutana na uongozi wa wizara ya habari, vijana, utamaduni, burudani na michezo Nape Nnauye.
DSC_0202
Samatta na Mh Waziri wakiongea na waandishi wa habari
Mshambuliaji huyo ambaye anahusishwa kwenda kucheza soka la kulipwa katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji aliomba kukutana na waziri Nape ili kumpongeza kwa kuteuliwa kuwa waziri wa wizara inayomuhusu na kuomba baraka kuelekea fainali ya tuzo za mchezaji bora wa Afrika zitazofanyika January 7 Abuja Nigeria. Video soon kwenye Ayo Tv mtu wangu
DSC_0182
Dakika chache kabla ya kuongea na waandishi wa habari Samatta na Mh Napewakijadiliana na kushauriana
IMG_2057 - Copy
Shaffih Dauda wa Clouds Tv/Fm na wengine walikuwepo
DSC_0188
Mh Nape akimuonesha Samatta sehemu ya kusaini wageni
DSC_0190
Samatta akisaini kitabu cha wageni cha wizara ya michezo
DSC_0217
Mbwana Samatta akiondoka ofisini kwa Waziri

Chanzo: millardayo.com

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.