Mchaka Zaidi

Thursday, August 24, 2017

Magazeti ya TZ leo August 24.. Udaku, Michezo na Hardnews


Asubuhi nyingine tena nakukutanisha na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania leo August 24 2017 kuanzia ya Udaku, Michezo na Hardnews kujionea yote makubwa yaliyoandikwa.

Monday, August 21, 2017

Ushindi wa kwanza wa Chelsea EPL msimu wa 2017/18


Marcos Alonso amefunga mara mbili mabingwa watetezi Chelsea wakiifunga Tottenham katika mchezo wao kwanza wa Premier League uliopigwa Wembley.

Kutoka Msoga Chalinze shambani kwa Rais Mstaafu JK


Rais mstaafu wa awamu ya nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete ameendelea na kuwekeza nguvu zake katika kilimo wakati huu ambao amestaafu majukumu yake ya Urais.

Magazeti ya TZ leo August 21..Dini, Michezo na Hardnews


Asubuhi nyingine tena nakukutanisha na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania leo August 21 2017 kuanzia ya Dini, Michezo na Hardnews kujionea yote makubwa yaliyoandikwa.

Tuesday, August 15, 2017

Makubwa ya Magazeti ya TZ leo August 15..Udaku, Michezo na Hardnews


Asubuhi nyingine tena nakukutanisha na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania leo August 15 2017 kuanzia ya Dini, Michezo na Hardnews kujionea yote makubwa yaliyoandikwa

Ronaldo apigwa marufuku ya mechi tano

Ronaldo baada ya kupewa kadi nyekundu
Mchezaji nyota wa Real Madrid Cristiano Ronaldo amepewa marufuku ya mechi tano baada kupewa kadi nyekundi wakati wa mechi ya el Clasicco siku ya Jumapili.