
Thursday, May 7, 2015
Mrema Avuliwa Uanachama TLP

KAMATI ya Ukweli na Maridhiano ya Chama cha Tanzania Labour (TLP),
imetangaza kumvua uanachama Mwenyekiti wa chama hicho, Agustino Mrema.
RAIS WA BURUNDI PIERRE NKURUNZIZA HATAGOMBEA TENA URAIS.
Profesa Lipumba Aieleza Mahakama ya Kisutu kuwa Polisi WALIMPIGA, Akana Kufanya Maandamano
MWENYEKITI
wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameieleza
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa, hawakufanya
maandamano wala kupata barua ya zuio badala yake alipigwa na polisi.
Zitto Kabwe Afunguka Kuwa Alipofukuzwa CHADEMA Alitamani Kujiunga NCCR-Mageuzi......Kazungumzia Pia Anakotoa Pesa za Kufanya Mikutano
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amefunguka na kusema kuwa alipofukuzwa Uanachama katika chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) alitamani kujiunga na Chama Cha NCCR-Mageuzi kwani ndicho chama ambacho kilikuwa kinaendana na itikadi yake anayoifuata na kuiamini ambayo ni itikadi ya Ujamaa.
Subscribe to:
Comments (Atom)
