Mchaka Zaidi

Monday, May 4, 2015

Uchambuzi wa Zitto Kabwe: Yaliyojificha Kuporomoka Kwa Shilingi Dhidi ya Dola ya Marekani

 
Na Zitto Kabwe,Mpekuzi.
Katika ukurasa wangu wa facebook mnamo tarehe 25 Aprili 2015 niliandika kuhusu sababu za shilingi kuporomoka thamani na majawabu ya namna ya kurejesha thamani halisi ya sarafu yetu.
 

Sunday, May 3, 2015

POINTI SITA ZAMALIZA UBISHI KATI YA FLOYD MAYWEATHE NA MANNY PACQUIAO

Pambano la ngumi za kulipwa kati ya Floyd Mayweathe na Manny Pacquia

Magazeti ya Michezo na Burudani



KUTOKA KWENYE MAGAZETI YA HARDNEWS JUMAPILI MEI 03 / 2015, IKIWA NA VICHWA VIKUU VYA HABARI.

DSC02108

UGAIDI Watikisa Tena Morogoro......Watu Watano Wajeruhiwa Kwa Bomu, Vijana Wawili Wanaswa Na Kutoroka Kimafia

WATU watano akiwemo dereva wa gari linalotumiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, David Ligazio ,Novatus Ngope (47), wamejeruhiwa vibaya na shambulio la kitu kinachodhaniwa ni bomu la kutupwa na mkono kutoka kwa watu wawili wasiofahamika walipokuwa kwenye sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani juzi.
 

Vurugu Burundi: Wakimbizi 800 Waingia Nchini

 
WAKIMBIZI 800 kutoka nchini Burundi wameingia nchini kupitia mkoani Kigoma huku wengine 87 wakirejeshwa nchini mwao baada ya kuingia nchini kwa kupitia wilayani Ngara mkoani Kagera.
 

Taarifa Muhimu Kutoka CHADEMA

Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari kuwa kuwa Kamati Kuu ya Chama, chini ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, itakutana Mei 3-4, katika kikao chake cha kawaida kwa mujibu wa Katiba ya Chama.