Mchaka Zaidi

Saturday, May 6, 2017

Kundi la Hamas lapata kiongozi mpya

Ismael Haniyeh ndio kiongozi mpya wa kundi la Hamas

Wapiganaji wa Palestina Hamas wamepata kiongozi mpya.

Manchester City yaikaranga Crystal Palace mara tano

crystal palace

Klabu ya Manchester City imerudi katika nafasi yake ya tatu katika ligi ya Uingereza baada ya kupata ushindi mkubwa dhidi ya Crystal Palace ambayo imeshindwa kwa mara ya tatu mfululizo.