
KANISA
la Moravian Jimbo la Mashariki limeitaka Serikali iangalie upya uamuzi
wake wa kuruhusu mgawanyiko wa kanisa hilo kwa kuruhusu usajili wa Jimbo
lingine ili kuepusha uvunjifu wa amani.

Pambano la ngumi za kulipwa kati ya
Floyd Mayweathe na Manny Pacquia
WATU watano akiwemo dereva wa gari linalotumiwa na Mwenyekiti wa
Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, David Ligazio ,Novatus Ngope (47),
wamejeruhiwa vibaya na shambulio la kitu kinachodhaniwa ni bomu la
kutupwa na mkono kutoka kwa watu wawili wasiofahamika walipokuwa kwenye
sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani juzi.