Mchaka Zaidi

Tuesday, August 15, 2017

Makubwa ya Magazeti ya TZ leo August 15..Udaku, Michezo na Hardnews


Asubuhi nyingine tena nakukutanisha na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania leo August 15 2017 kuanzia ya Dini, Michezo na Hardnews kujionea yote makubwa yaliyoandikwa

Ronaldo apigwa marufuku ya mechi tano

Ronaldo baada ya kupewa kadi nyekundu
Mchezaji nyota wa Real Madrid Cristiano Ronaldo amepewa marufuku ya mechi tano baada kupewa kadi nyekundi wakati wa mechi ya el Clasicco siku ya Jumapili.

Saturday, May 6, 2017

Kundi la Hamas lapata kiongozi mpya

Ismael Haniyeh ndio kiongozi mpya wa kundi la Hamas

Wapiganaji wa Palestina Hamas wamepata kiongozi mpya.

Manchester City yaikaranga Crystal Palace mara tano

crystal palace

Klabu ya Manchester City imerudi katika nafasi yake ya tatu katika ligi ya Uingereza baada ya kupata ushindi mkubwa dhidi ya Crystal Palace ambayo imeshindwa kwa mara ya tatu mfululizo.

Friday, March 17, 2017

Timu nane zilizofanikiwa kufuzu kucheza robo fainali ya UEFA Europa League 2016/2017


Hatimae michezo ya hatua ya 16 bora hatua ya marudiano ya UEFA Europa League imemalizika usiku wa March 16 2017 kwa michezo nane kuchezwa, tayari timu nane zimepatikana baada ya michezo ya marudiano.

Magazeti ya Tanzania March 17, 2017 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo



Good Morning mtu wa nguvu, leo ni March 17 2017 na kama ilivyo kawaida yangu ya kila siku alfajiri nimekusogezea habari kubwa kwenye Magazeti kurasa za mwanzo na mwisho kuanzia ya UdakuHardnews na Michezo ili ujUe kinachoendelea Mtu wangu usiache kukaa karibu yangu

Friday, March 10, 2017

Mahakama yamng'atua mamlakani rais wa Korea Kusini

Rais wa Korea kusini aliyengatuliwa mamlakani na mahakama Park Guen Hye
Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionRais wa Korea kusini aliyengatuliwa mamlakani na mahakama Park Guen Hye

Mahakama ya juu nchini Korea Kusini imeunga mkono uamuzi wa bunge wa kumuondoa rais wa taifa hilo Park Geun-hye mamlakani