Mchaka Zaidi

Thursday, March 24, 2016

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 24 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo

March 24 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.

Monday, March 14, 2016

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 14 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo


March 14 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram@millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.

MOVIE: Matron wa shule kamzimia Mwanafunzi jeuri shuleni… (sehemu ya mwanzo)



Ni movie ya Mtanzania Salma Jabu maarufu ‘Nisha’ ambaye humo ndani yuko na mastaa kadhaa wa movie bongo akiwemo Mzee Majuto, na hii ni sehemu tu ya movie yenyewe inaitwa ‘Kiboko Kabisa’

Samatta kaiongoza KRC Genk katika ushindi wa goli 4-1, video ya goli lake hii



Kwa mara ya kwanza klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji ambayo inaongozwa na kocha lakini inachezewa na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Ally Samatta, imempa nafasi ya kuanza katika mchezo wa leo dhidi ya klabu ya KV Oastende.

Sunday, January 24, 2016

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo January 24 2016 kwenye Hardnews, michezo mengine

January 24 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu..