Mchaka Zaidi

Thursday, July 9, 2015

WAZIRI MEMBE ASISITIZA UMUHIMU WA VIWANDA NCHINI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Kamilius Membe (Mb.), akiongea kwenye muhadhara kabla ya Mtoa mada mkuu Prof. Justin Yifu Lin hajaongea katika muadhara uliokuwa unazungumzia umuhimu wa viwanda nchini ulioandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje

Tano Bora ya Urais CCM Itatoka Ndani ya Kundi Hili.......Majina yao Kuanikwa leo, wengine 33 Kufyekwa.