Mchaka Zaidi

Monday, June 22, 2015

South Africa kwenye headlines na vurugu alizofanyiwa Rais Jacob Zuma bungeni!!

jacob-zuma-1


Tarehe 19 June mwaka huu Bunge la South Africa liliingia kwenye headlines katika vyombo vya habari pamoja na mitandao ya kijamii baada ya baadhi ya viongozi kutoka chama cha upinzani kuanzisha vurugu zilizo pelekea kuahirishwa kwa Bunge hilo siku ya ijumaa.

Wema Sepetu kuhusu mtoto na Diamond, ujauzito wa Zari na mimba aliyotoa. ( video )

WEMA s

Magazeti ya leo Tarehe 22/6/2015

.

Lowassa Azidi Kupata Mapokezi Makubwa Kila Anakoenda.......Songea Alazimika Kukaa Juu ya Paa la Nyumba, Asema Jina Lake Haliwezi Kukatwa


WAZIRI Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa amesema hana shaka na swala la kukatwa jina lake katika vikao vya Chama cha Mapinduzi(CCM), kwani anaamini Chama chao kitatenda haki kwa kurudisha jina lake kuwa mgombea urais wa Tanzania.

Risasi Zarindima Vituo Vya BVR Arusha, Godbless Lema Atiwa Mbaroni


MILIO ya risasi ilisikika katika vituo vya uandikishaji kura katika kata ya Sokoni One jijini hapa, baada ya kuibuka kwa vurugu zilizohusisha vijana wa Chadema na wenzao wa CCM, chanzo kikitajwa madai ya kuwepo kwa watu ambao sio wakazi wa eneo hilo kutaka kujiandikisha.