Mchaka Zaidi

Sunday, May 24, 2015

Jeshi la Wananchi lazua kizaa zaa songea


Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wilayani Songea jana limezua kizaa zaa kwa wananchi kufuatia kuvamia mitaani, maofisini (serikali na binafsi) makanisani na misikitini wakiwa na silaha huku magari yao yakiranda kila kona na kuanza upekuzi  kwa watu wote walokutana nao huku wakidai kuonyeshwa vitambulisho.

Wanandoa Wauawa Kwa Kuchinjwa Kama Kuku


Watu wawili, mke na mume wakazi wa  Makambo, wilayani Mlele, wameuawa kikatili kwa kuchinjwa na kutenganishwa kichwa na kiwiliwili wakati wakiwa wamelala.

Majina wanafunzi wa kidato sita waliochaguliwa kujiunga na JKT,kwa mujibu wa sheria 2015

BOFYA HAPA KWA KUPATA MAJINA

KIONGOZI WA CHAMA CHA UPINZANI AUAWA KWA KUPIGWA RISASI MJI MKUU WA BUJUMBURA NCHINI BURUNDI.


wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.