Mchaka Zaidi

Saturday, May 23, 2015

Mtwara yasimama saa 24 .....Huduma zafungwa kukumbuka waliouawa wakati wa vurugu za gesi


HUDUMA  za kijamii mkoani Mtwara jana zilisimama kutokana na baadhi ya wananchi kudai kuwa wanaomboleza vifo vya watu vilivyotokea wakati wa vurugu za gesi hivyo kupelekea huduma za kijamii kusimama.
 

Hospitali ya AMI Yafungwa Rasmi


HATIMAYE Hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Center ya Masaki Dar es Salaam, imefungwa rasmi na mmiliki wa jengo kukabidhiwa funguo zake.
 

Fidia Kwa Waathirika wa Mafuriko Dar: John Mnyika Amvaa Waziri Mkuu Mizengo Pinda

MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemshukia Waziri mkuu Mizengo Pinda na kumtaka kuhakikisha kwamba kiasi cha fedha cha Bilioni tatu zitakazotolewa na mfuko wa maafa zinatolewa kwa wakati ili kutatua changamoto za waathirika.

Lowassa Na Wenzake Sasa Wako Huru....Adhabu Yao Imekwisha LEO......Taarifa Kamili Iko Hapa


Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari wa Sekretarieti kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi mjini Dodoma leo tarehe 22 Mei 2015.

Urais 2015: Mwanamke wa kwanza CCM ajitokeza kutangaza nia

Mwanamke wa Kwanza ndani ya chama cha Mapinduzi (CCM) Amina Salum Ali atangaza kugombea urais.

Al shabaab wavamia tena Kenya, watoa onyo kali kwa wananchi


Mamlaka nchini Kenya imesema kuwa walinda usalama wamekabiliana na washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al- Shaabab, katika wilaya ya Ijara katika kaunti ya Garissa Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.