
KAMATI ya Ukweli na Maridhiano ya Chama cha Tanzania Labour (TLP),
imetangaza kumvua uanachama Mwenyekiti wa chama hicho, Agustino Mrema.

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza
amewaambia mawaziri wa Afrika Mashariki kwamba endapo atachaguliwa
kuiongoza nchi hiyo mwezi June mwaka huu kwa muhula wa tatu basi itakuwa
ni kipindi cha ukomo wa yeye kuendelea kusalia madarakani ,msemaji wa
serikali ya Burundi Gervais Abayehorwa amesema hayo mapema Jumatano.
MWENYEKITI
wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameieleza
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa, hawakufanya
maandamano wala kupata barua ya zuio badala yake alipigwa na polisi.
