
Thursday, May 7, 2015
RAIS WA BURUNDI PIERRE NKURUNZIZA HATAGOMBEA TENA URAIS.

Profesa Lipumba Aieleza Mahakama ya Kisutu kuwa Polisi WALIMPIGA, Akana Kufanya Maandamano

Zitto Kabwe Afunguka Kuwa Alipofukuzwa CHADEMA Alitamani Kujiunga NCCR-Mageuzi......Kazungumzia Pia Anakotoa Pesa za Kufanya Mikutano

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amefunguka na kusema kuwa alipofukuzwa Uanachama katika chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) alitamani kujiunga na Chama Cha NCCR-Mageuzi kwani ndicho chama ambacho kilikuwa kinaendana na itikadi yake anayoifuata na kuiamini ambayo ni itikadi ya Ujamaa.
Monday, May 4, 2015
MGOGORO: Kanisa la Moravian Wakataa Jimbo jipya.

KANISA
la Moravian Jimbo la Mashariki limeitaka Serikali iangalie upya uamuzi
wake wa kuruhusu mgawanyiko wa kanisa hilo kwa kuruhusu usajili wa Jimbo
lingine ili kuepusha uvunjifu wa amani.
Uchambuzi wa Zitto Kabwe: Yaliyojificha Kuporomoka Kwa Shilingi Dhidi ya Dola ya Marekani

Na Zitto Kabwe,Mpekuzi.
Katika ukurasa wangu wa facebook mnamo tarehe 25 Aprili 2015 niliandika kuhusu sababu za shilingi kuporomoka thamani na majawabu ya namna ya kurejesha thamani halisi ya sarafu yetu.
Sunday, May 3, 2015
POINTI SITA ZAMALIZA UBISHI KATI YA FLOYD MAYWEATHE NA MANNY PACQUIAO

Subscribe to:
Posts (Atom)