Mchaka Zaidi

Sunday, April 19, 2015

Watoto 115 wanaswa wakipatiwa mafunzo Dodoma

 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limeviweka chini ya ulinzi na kuvifanyia uchunguzi vituo vitatu vilivyokusanya watoto 115 kutoka mikoa 13 nchini kwa lengo la kuwapatia mafunzo ya dini ya Kiislamu.
 

Friday, April 17, 2015

Tamko la Waziri Chikawe Kuzifuta Taasisi za Kidini na Kiraia Zinazojihusisha Na Siasa Lapingwa Kila Kona.......Yadaiwa ni Udikteta na Aibu kwa Demokrasia


Wasomi, wanasiasa, viongozi wa dini na wananchi katika maeneo mengi nchini, wamepinga vikali tishio la Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, la kuzifuta taasisi za kijamii na kidini na kueleza kuwa amekurupuka, hakushauriwa na kushindwa kufuata misingi ya demokrasia na Katiba ya nchi.

NDEGE AINA YA KWALE NAMNA ALIVYO NA UMAARUFU BAADA YA UTAFITI WA KUBAINI FAIDI NYINGI KATIKA MWILI WA BINADAMU.

Katika siku za hivi karibuni ndege aitwae kware ameanza kuwa ndege maarufu katika baadhi ya wafugaji katika nchi yetu na kwa wale ambao walikuwa wakiwawinda porini enzi na enzi kwa ajili ya kitoweo.