Mchaka Zaidi

Thursday, April 16, 2015

'Magaidi' 10 Wakamatwa Msikitini Wakiwa na Milipuko, Sare za jeshi na Bendera ya Al Shabaab

 
Watu 10 wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro baada ya kukamatwa msikitini wakiwa na milipuko 30, sare za jeshi na bendera nyeusi inayodaiwa kutumiwa na kundi la wapiganaji wa Al Shabaab wa nchini Somalia.

Utata Wa Nay Wa Mitego na Siwema Umekwisha Baada ya Majibu ya DNA Kutoka


Baada ya utata mzito kutawala kwenye vyombo vya habari juu ya uhalali wa mtoto wa Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kwa mzazi mwenzake Siwema Edson, hatimaye kipimo cha vinasaba (DNA) kimetoka na kumaliza ubishi kwamba mtoto huyo aitwaye Curtis ni damu halisi ya msanii huyo.

Wednesday, April 15, 2015

Habari zilizopo Katika Magazeti ya Leo


Zitto Kabwe: Sitaki kulumbana na CHADEMA


Kiongozi wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hawezi kulumbana na viongozi wa chama chake cha zamani cha Chadema kwa kuwa anachofanya sasa ni kutafuta wanachama wa chama chake kipya. 
 

Radi Yaua Mwalimu na Wanafunzi 6 Kigoma


Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya mkoa wa Kigoma,Maweni  akiongeza na Waandishi wa habari juu ya tukio la radi lililotokea hivi punde na kuuwa watu 8

Kamanda Mpinga: Madereva Waliosababisha Ajali Kwa Uzembe Kufutiwa Leseni Zao

 
Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama Barabarani Mohammed Mpinga,akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani ofisini kwake jijini Dar es Salaam  jana.

Lipumba: Siku Ya Uchaguzi Mkuu Itatangazwa Na NEC Na Si Vinginevyo



 
Mwenyekiti wa taifa wa Chama  cha Wananchi (CUF),Profesa   Ibrahim Lipumba akizungumza na baraza la uongozi wa chama hicho (hawapo pichani) iliyofanyika Makao Makuu ya Chama hicho jijini Dar es Salaam, wapili kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad, kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar,Nassor Ahmed na kushoto ni makamu Mwenyekiti wa chama cha Wananchi (CUF) Taifa,Duni Haji.